Ruka hadi kwenye maudhui makuu

CHANJO ZA KUKU

MAKALA JUU YA
CHANJO ZA KUKU WA AINA ZOTE.

Kuna aina tofauti za magonjwa kama MAGONJWA YA VIRUSI MAGONJWA YA BAKTERIA NA MAGONJWA YA KUPE/VIROBOTO/MINYOO.

MAGONJWA YA VIRUSI KWA KUKU NI KAMA

IBDauGUMBORO

MAREX

INFECTIOUS CORTYZA/MAFUA MAKALI

FOWL POX/NDUI

ILT ..INFECTIONS LARYNGOTRACHEITIS

NEWCASTLE/KIDELI

Magonjwa haya yasababishwayo na virusi HAYATIBIKI hivyo mfugaji ni vema ukawachanja kuku wako kwa moja ya mifumo ifuatayo....

 CHANJO KIPINDI TU KUKU AKIWA

AMETOTOLEWA DAY OLD CHICK//HATCHERY ACHANJWE

Chanjo ya Mareks kwa kuku wa mayai...(l(SASSO ..KLOIRER...PURE LAYERS....BREEDER

ISIPOKUA PURE BROILERS))

Chanjo ya IBD/Gumboro

Chanjo NEWCASTLE/KIDELI

 *MFUMO WA KWANZA*

SIKU YA KUMI CHANJO YA KIDELI/ND

SIKU YA 18 CHANJO YA GUMBORO/IBD

SIKU YA 28 CHANJO YA KIDELI/NEWCASTLE

SIKU YA 30 CHANJO YA NDUI/FOWL POX

KILA BAADA YA MIEZI MITATU AU WIKI 9 WAPE CHANJO YA KIDELI/NEWCASTLE HADI PALE UTAKAPO WATOA KUKU WAKO..

MFUMO WA PILI

SIKU YA SABA CHANJO YA KIDELI/NEWCASTLE

SIKU YA 14 CHANJO YA GUMBORO/IBD

SIKU YA 21 CHANJO YA NEWCASTLE//KIDELI

SIKU YA 30 CHANJO YA NDUI/FOWL POX

KILA BAADA YA MIEZI MITATI RUDIA CHANJO YA NEWCASTLE MPAKA UTAKAPO WATOA KUKU

NB+ Majina ya chanjo husika utajifunza kwa wauzaji wa madawa wanazijua hizo chanjo vizuri

VITU VYA KUZINGATIA WAKATI WA KUCHANJA KUKU

==Siku ya kuchanja kuku hakikisha kuku wametolewa maji asubuhi kabisa//uwanyime maji kwa Massaa 3au4

==Vyombo vyako vya kuwekea chanjo vioshwe vizuri kwa maji safi.

==Maji ya kuwekea chanjo yawe masafi na yachanganywe na Coper au chlorex blue ili kuondoa chlorine ya kwenye maji kufanya chanjo iwe na nguvu.

==Chanjo iliyotunzwa kwenye friji ichanganywe kwenye maji kutokana na uwingi wa kuku::Mara nyingi kopo moja la chanjo ni kwa kuku 500 dozi ndogo na 1000 dozi kubwa kwahio angalia unakuku wangapi alafu wachanganyie maji watakayo weza kumaliza.


==Wape maji yenye chanjo kwa muda wa saa1 hadi masaa2 alafu toa maji yenye chanjo.

==Dakika 5 baada ya kuweka chanjo angalia kama kuku wote//vifaranga wote wamekunywa maji yenye chanjo  kwa kutazama midomo yao itakua na rangi ya yale maji yenye copper.

==Kama kuna kifaranga hajanywa maji yachanjo mnyweshe kwa kijiko,,,au syrynge(bomba la sindano).

Chanjo ya ndui huchomwa kwa sindano kwenye bawa nivema umuite mtaalamu akuelekeze

BROILERS HAWACHANJWI FOWL POX/Ndui

HII NDIO MAKALA JUU YA RATIBA SAHIHI YA CHANJO

 IMEANDALIWA NA GREYSON KAHISEMTAALAMU WA UFUGAJI WA KUKU 0769799728 kwa maelezo na mawasiliano zaidi.


Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

AINA ZA VYAKULA VYA KUKU

SOMO KUHUSU CHAKULA CHA KUKU. MASH: Chakula cha vumbi vumbi PELLETS: Chakula cha tambi tambi Kama ilivyo zoeleka kwa aina nyingine za mifugo, kuku pia wanatakiwa kupewa chakula sahihi katika umri sahihi ili kuwawezesha kukua vizuri na pia kutaga mayai vizuri. Makundi ya vyakula vya kuku( yaliyo zoweleka na wafugaji wengi ) Kwaajili ya kutaga(Layers breed, chotara na kienyeji 1: Super Starter/ Starter mash 2: Grower mash 3: Layers mash  UFAFANUZI Starter mash au Super starter mash, hiki ni chakula mahususi kabisa kwaajili ya vifaranga au kuku wanaoandaliwa kwaajili ya kutaga, chakula hiki hutakiwa kuwa na kiwango cha zaidi cha protini ili kuimarisha kinga za mwili wa kuku, pia wanga kusaidia ukuaji sahihi. Kwa kutegemea miongozo utakayo pewa, Chick starter au Layer starter inatakiwa kulishwa kwa kuku kuanzia wakiwa na umri wa siku 1 mpaka wiki ya 6 , 7 au 8 kwa kutegemea mwongozo wa Formula au kiwanda utakacho nunua Chakula. Starter inashauriwa kuku wapewe bila kipimo angalau kwa wi...

MATUMIZI YA DAWA KWA KUKU ZINGATIA

MAKALA KUHUSU DAWA KWA KUKU. Leo ni vema kidogo tuelezane kuhusu matumizi ya dawa kwa very good but kuku...hasa Hb kuhusu namna sahihi ya matumizi ya dawa na jinsi ya kuzitumia Kitu cha kwanza ieleweke kwamba dawa sio kinga ila ni tiba ya ugonjwa ambao unakua umeshatokea kwa hiyo ni muhimu kuwapa kuku chanjo za magonjwa Chanjo pia kama haitahifadhiwa katika mazingira sahihi au kutumiwa kwa namna sahihi ubora wake hupungua hivyo ufanisi wake kukinga ugonjwa hupungua vilevile Vitu sahihi kuvijua kabla hujatumiwa dawa yeyote 1.Hakikisha umefahamu ugonjwa upi unaoutibu 2.hakiksha unajua ugonjwa upo katika stage ipi... 3.hakikisha umefanya uchunguzi  juu ya magonjwa mengine yanaohusiana na ugonjwa husika 4. Ni muhimu zaidi kufahamu umri WA kuku wako na kuchagua dawa sahihi kulingana na umri... 5.hakikisha unafahamu level ya uzalishaji na muda kabla ya kuchagua utumie dawa ipi... Mara nyingi kuku akiumwa ugonjwa mmoja huongeza uwezekano WA kuumwa magonjwa mengine Ni muhimu kufanya uchung...

UFUGAJI WA BROILERS/ KUKU WA NYAMA

MWONGOZO WA UFUGAJI WA KUKU WA NYAMA/BROILERS Biashara ya kuku imejikita katika uwanja mpana sana kwa kutegemea aina za kuku, kwa maeneo mengi ya mjini Kuku wa nyama wamekua wakiuzika sana Japo kwa bei isiyo rafiki kwa mfugaji 👉Kwa maeneo mengi wafugaji wamekua wakifuga wakitarajia kuuza kuku kuanzia siku ya 28-30, au kama watachelewa sana basi wasizidi siku 35, japo wapo wengine ambao huuza mapema zaidi ya hapo au kwa kuchelewa kutokana na sababu tofauti tofauti. 👆Mambo ya kuzingatia ili broilers waweze kukua ipasavyo. 👉 Chakula 👆Kwa ukuaji wa haraka wa broiler anatakiwa kupewa chakula muda mwingi wa Siku, kutoka kwa wafugaji wazoefu wa broiler wametoa shuhuda kwamba broiler wawashiwe taa masaa 24 na wapewe maji na chakula. 👏Kwa makadirio ya kuku 100, broilers wamekua wakitumia mifuko ya chakula kama ifuatavyo 👉Broiler starter crumble siku 1-13 mfuko mmoja 👉Broiler Grower Pellets siku 14-22 mifuko miwili 👉Broiler finisher Pellets siku 23-kuuza mifuko miwili NB: Zipo shuhuda kw...