Ruka hadi kwenye maudhui makuu

Machapisho

Inaonyesha machapisho yenye lebo ya VIFARANGA

JINSI YA KUTENGENEZA SEHEMU YA KULELEA VIFARANGA/ BROODER

MAANDALIZI YA SEHEMU YA KULELE VIFARANGA/ BROODING AREA 👆Brooder ( kinengunengu), hii ni sehemu ya muhimu sana , na yakuzingatia sana wakati wa malezi ya vifaranga  SIFA ZA BROODER 👉Joto lakutosha 👉Randa/matandazo 👉Maji 👉Chakula 👉Hewa ya kutosha 👉Mwanga 👉Nafasi ya sahihi ya kutosha 👉👇nini sasa ufanye kuandaa brooder/ sehemu ya kulelea vifaranga. 👉Kwanza angalia idadi ya vifaranga wako, 👈Brooder inaweza kuwa ya duara, kama utalea vifaranga wachache 👈Kama utalea vifaranga wengi unaweza kutengeneza brooder ya pembe nne kwa kuzingatia vipimo. MATENGENEZO YA BROODER YA DUARA 👉Tafuta siling board, ikate kwa urefu vipande vitatu (standard 30-40 cm) kimo, au wengine hukata Mara mbili *(katikati)* 👉Unganisha vipande ulivyo vikata kutengeneza duara lako, Mimi huunganisha kwa kuchana kibao kwa msumeno kitakacho shikilia siling board upande wa juu kwenye maungio. 👉Kitaalamu mita moja mraba hutosha vifaranga 40, ila eneo utakua unalitanua kwa kadri vifaranga watakavo kua wanaong...

MAELEKEZO MUHIMU SANA

MAFUNZO MBALI MBALI RAHISI NA HALISI KWA MFUGAJI  ULISHAJI 👉Lisha kuku muda mmoja kila siku, usibadilishe badilishe ratiba 👉Usibadilishe badilishe chakula 👉Usiwapunje wala kuzidisha chakula 👉Wawekee vyombo vya kutosha 👉Maji yawepo muda wote 👉Vyombo vya maji visafishwe kila siku  UOKOTAJI WA MAYAI  👉Panga ratiba maalumu ya kuokota mayai, mfn SAA 7:30/Am, saa 10:30 Am, saa 1:30 Pm, saa 4:30 Pm, funga report. 👉Safisha viota vya kuku, kuondoa vinyesi kila asubuhi na ongeza matandazo mayai yasipasuke 👉Okota mayai na yaweke kwenye Trey upande uliochongoka utazame chini, na upande butu uwe juu 👉Weka mayai sehemu salama isiyo na joto jingi 👉Mayai ya kutotolesha yahifadhiwe kwa siku zisizo zidi 10  UHIFADHI WA KUMBUKUMBU 👉Hakikisha umeweka kumbukumbu zote za msingi shambani kwako kama 👆Aina ya kuku 👉Siku ya kuingia bandani 👉Idadi yao na wanaokufa 👉Gharama za chakula 👉Gharama nyingine zote 👉Mauzo 🐣Piga hesabu mapato na matumizi, hii itakusaidia kujua na kuta...

ZINGATIA YAFUATAYO KULEA VIFARANGA

MAKALA JUU YA VITU VYA KUZINGATIA WAKATI WA KUPOKEA VIFARANGA ULEAJI WA VIFARANGA/BROODING ni moja ya sehemu muhimu ya  kuzingatia sana kwaajili ya kuku wenye ukuaji mzuri na uwezo mzuri wa kutaga. SIFA ZA KIFARANGA BORA ==Kifaranga awe na manyoya makavu yasiyo na unyevu unyevu. ==Kifaranga awe mchangamfu na ukimshitua aoneshe hali ya kushituka ==Awe na kitovu kilichokauka au kilicho funga ==Asiwe na mapungufu mfano kilema,,midomo iliyo pinda,,shingo iliyokakamaa au kupinda,,,miguu yenye kilema ==Kifanga awe na afya nzuri VYA KUZINGATIA WAKATI WA KUPOKEA VIFARANGA ==Hesabu vifaranga wote waliofika na uweke rekodi kwenye daftari la rejea ==Angalia ubora wao..kama afya...kitovu...na ambao hawana shida. ==Vifaranga wote watakao onekana ni wadhaifu sana watenganishe na wale wazima/// pia uweke rekodi wapo wangapi///kama wapo ambao ni dhaifu sana unaweza waondoa kwenye idadi na urekodi kama waliokufa/mortality. ==Weka rekodi ya chakula ulicho wawekea kwa grams,,,Joto la banda kwa kutumi...

KUKU KULEMAA MIGUU, KUSHINDWA KUSIMAMA

KUKU KULEMAA MIGUU, KUSHINDWA KUSIMAMA Hii ni moja ya changamoto kubwa ambayo imekua ikijitokeza kwa wafugaji wengi, wadogo, wakati na wakubwa. Na matatizo haya yamekua yakitofautiana kujitokeza kulingana na umri wa kuku husika. 👇 Sababu kuu za tatizo hili 👉Kushambuliwa na bacteria/ Staphylococcus 👉Kupungua kwa madini ya calcium na phosphorus 👉Kupungua kwa vitamin D 👇STAPHYLOCOCCUS 👉Huu ni ugonjwa wa miguu, kuku wachache katika kundi hushindwa kusimama, kula vizuri na wengi wao hufa kwa kukosa chakula. 👆Ugonjwa huu unasababishwa hasa na bacteria na huwapata kuku iwapo, watakua na michubuko/injury, au uwazi wowote ambao bacteria hawa wanaweza kuingia moja kwa moja kwa kuku. 👆Kuku wakati mwingine huonesha uvimbe kama vijipu vidogo, na wakati mwingine hawaoneshi uvimbe wowote. 👆Nivema kupeleka kuku  kwa daktari afanye uchunguzi kubaini tatizo halisi ndipo uanze kutibu 👉Kuzuia Fanya yafuatayo 👆Hakikisha kuku wako wanakaa kwenye randa kavu kuepusha michubuko au kuumia 👆Pindi...

MAKALA JUU YA MAYAI/YA KUKU NA UTOTOLESHAJI

Mayai ya kuku huanguliwa kwa siku 21 kabla ya vifaranga kutotlewa  ilhali bata  hutotoa baada ya siku 28 Uatamiaji wa asili na utotoleshaji vifaranga: Mayai kwa ajili ya kuatamiwa ni lazima yawe mapya; 1)      Umri wa mayai baada ya kutagwa usiwe zaidi ya siku kumi (10) na yawe yamehifadhiwa katika sehemu yenye ubaridi usozidi nyuzi joto 20ºC .Iwapo hali ya joto iko juu kuliko 20ºC basi mayai ya kutotoa vifaranga yasihifadhiwe kwa zaidi ya siku tano (5). 2)      Ili kupata matokeo mazuri, mayai ya kuatamiwa (mayai yaliyochaguliwa) yanatakiwa yawe na umbo la kawaida na ukubwa wa wastani kwa aina ya kuku wanaohusika. 3)      Ganda la mayai ya kuangua lisiwe na mikwaruzo au nyufa  kwani likiwa na nyufa yai hupoteza unyevunyevu ambao ukipungua kiiini cha yai kinaweza kufa au linaweza kuingiza vimelea kama fangasi na bakteria ambavyo husababisha kutotolewa kwa vifaranga vyenye afya mbaya au vilivyokufa. 4)      Hifadh...

SOMO : KULEA VIFARANGA SEHEMU YA 2 MAANDALIZI YA KUPOKEA VIFARANGA.

Karibu ndugu mfugaji tuendelee pale  tulipo ishia hii ni sehemu ya 2maandalizi ya kupokea Vifaranga. Maandalizi kabla ya kupokea vifaranga : Inashauriwa vifaranga walelewe katika chumba maalum hadi umri wa majuma manne. Chumba kitayarishwe siku kumi na nne kabla ya vifaranga kuwasili kama ifuatavyo: • Matundu yote yaliyo kwenye sakafu, dari, madirisha na ukuta yazibwe. • Kama chumba hicho kina sakafu ya saruji, kisafi shwe kwa maji ya moto na baadaye kinyunyizie dawa kama vile Rhino au Dettol ya kuua wadudu. Ikiwa chumba hicho hakina sakafu ya saruji, toa takataka zote kisha mwagia chokaa au majivu. • Mazingira ya nje ya banda yawekwe katika hali ya usafi ili kuzuia wadudu waharibifu. Kusafishwe hadi kufi kia upana wa mita mbili au zaidi kuzunguka banda. • Katika chumba watakamofi kia vifaranga tengeneza sehemu maalum ya kulelea (kitalu/bruda/brooder). Sehemu hiyo maalum inatakiwa iwe na umbile la duara, itengenezwe kwa kutumia box singbod nk. Kifaa hiki huhifadhi joto, huzuia upep...

JINSI KULEA VIFARANGA (1)

SOMO:KULEA VIFARANGA SEHEMU YA 1: BANDA BORA LA VIFARANGA Habari ya uzima ndugu mfugaji! Huu ni mwanzo wa somo la kulea vifaranga , tutajifunza ujenzi wa banda la vifaranga, vitu vya muhimu katika banda la vifaranga, kujiandaa kupokea vifaranga, chanjo na dawa, sababu za vifo kwa vifaranga , lishe bora kwa vifaranga, na jinsi ya kudhibiti vifo nk. Mwanzo huu ,sehemu ya kwanza tutajifunza ujenzi wa banda la vifaranga/ vitu vya muhimu katika banda la vifaranga. Nyumba Ya Kulelea Vifaranga Ukipenda kujenga nyumba ya vifaranga itafaa ujue  yafuatayo:-  _ Nyumba ya vifaranga iwe karibu na nyumba yako mwenyewe ili uweze kuwakagua vifaranga wako mara kwa mara.  _Ijengwe hatua 20 au zaidi mbali na nyumba ya kuku wakubwa, hii ni kinga mojawapo ya kupunguza hatari ya maambukizi ya magonjwa.  _Nyumba ya vifaranga isiruhusu ubaridi au unyevu au wanyama waharibifu kuingia.  #Lakini nyumba iingize hewa na mwanga wa kutosha kila wakati.  _ Nyumba iwe na eneo la kutosha...

CHICK BROODING

Brooding helps prevent chilling. Chilled chicks do not take sufficient feeds and water leading to retardation in growth; inability to digest the yolk thus Mortality Brooder Preparation • Clean the brooding house thoroughly • Soak the floor and curtains with a strong disinfectant • Wash and disinfect then sun-dry Feeders and drinkers for two days • Arrange all equipment in the house • Prepare the brooder ring • Spread the litter (up to 4 inches thick from the floor) • Fix the curtains on the open sides • Disinfect the brooder using a good quality disinfectant • Provide a foot bath at the entrance with a disinfectant • Spread newspapers on the floor to cover the litter • Place the heat source at the Centre of the brooder ring Feed Management • Use supplemental feeder trays to help chicks get off to the best start possible (1 tray per 100 chicks) • Place feeder trays between the drinkers • Supplemental feeders should be provided for the first 7-10 days. Chick Quality Analysis • Check the ...

MAKALA JUU YA VITU VYA KUZINGATIA WAKATI WA KUPOKEA VIFARANGA

ULEAJI WA VIFARANGA/BROODING ni moja ya sehemu muhimu ya  kuzingatia sana kwaajili ya kuku wenye ukuaji mzuri na uwezo mzuri wa kutaga.  SIFA ZA KIFARANGA BORA ==Kifaranga awe na manyoya makavu yasiyo na unyevu unyevu. ==Kifaranga awe mchangamfu na ukimshitua aoneshe hali ya kushituka ==Awe na kitovu kilichokauka au kilicho funga ==Asiwe na mapungufu mfano kilema,,midomo iliyo pinda,,shingo iliyokakamaa au kupinda,,,miguu yenye kilema ==Kifanga awe na afya nzuri  VYA KUZINGATIA WAKATI WA KUPOKEA VIFARANGA ==Hesabu vifaranga wote waliofika na uweke rekodi kwenye daftari la rejea ==Angalia ubora wao..kama afya...kitovu...na ambao hawana shida. ==Vifaranga wote watakao onekana ni wadhaifu sana watenganishe na wale wazima/// pia uweke rekodi wapo wangapi///kama wapo ambao ni dhaifu sana unaweza waondoa kwenye idadi na urekodi kama waliokufa/mortality. ==Weka rekodi ya chakula ulicho wawekea kwa grams,,,Joto la banda kwa kutumia thermometer,,,Weka rekodi ya vifaranga wenye afy...